Nyumba ya Sanaa

Nyumba ya Sanaa

RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa ni Makala ya  Utamaduni ambayo inatoa fursa  kwa wasanii  na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Arts

Écoutez le dernier épisode:

Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na kundi la wasani la viongozi generation.

Épisodes précédents

  • 208 - Tanzania: Tunazungumza na kundi la wasani la viongozi generation 
    Sat, 14 Sep 2024
  • 207 - Tanzania: Muziki wa kizazi kipya na Hussein Mussa Shundi Maarufu Rucky 
    Sat, 07 Sep 2024
  • 206 - Mwanza: Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince ndiye mgeni wetu wiki hii 
    Sat, 31 Aug 2024
  • 205 - Tanzania: Wiki hii tunaliangazia kundi la Muziki la The Mafiki 
    Sat, 24 Aug 2024
  • 204 - Muziki wa Taarab nchini Tanzania naye Jike la Chui 
    Sat, 17 Aug 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts arts français

Plus de podcasts arts internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast