Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

RFI Kiswahili

Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.

Écoutez le dernier épisode:

Wanasayansi na wahifadhi wameibua hofu ya kutokomea kabisa kwa tembo aina ya "Super Tusker" ambaye pembe yake moja ina kilo takriban 45, ikiwa hatua hazitachukuliwa ili kuzuia uwindaji wao.

Katika mbuga ya Amboseli inayopakana na Kenya na Tanzania, ndovu hawa wamebaki kumi pekee.

Épisodes précédents

  • 174 - Wahifadhi wahofia kudidimia kwa tembo aina ya "Super Tusker' 
    Fri, 06 Sep 2024
  • 173 - Mchango wa mashirika yasio ya kiserikali kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwa jamii nchini Kenya 
    Fri, 06 Sep 2024
  • 172 - Matumizi ya taka za chupa za plastiki kuendeleza kilimo bila mchanga(Hydroponic farming) 
    Mon, 12 Aug 2024
  • 171 - Kenya: Namna mabaki ya ngozi ya samaki yanavyotumiwa kuhifadhi mazingira 
    Mon, 05 Aug 2024
  • 170 - Uhifadhi wa mbegu za kitamaduni na sera zinazotishia mapato ya wakulima wadogo nchini Kenya 
    Mon, 29 Jul 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts sciences et médecine français

Plus de podcasts sciences et médecine internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast