Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Msikilizaji kwa mujibu wa benki ya dunia, ni asilimia 49 tu ya watu wazima wanamiliki akaunti benki, takwimu za hivi karibuni zikionesha ongezeko la asilimia 55 mwaka 2021 kutoka asilimia 43 mwaka 2017, hata hivyo kiwango hiki kikiwa kidogo ukilinganisha na wastani wa kidunia wa asilimia 76.

 

Makala ya Gurudumu la Uchumi, juma hili tunajadili kuhusu huduma jumuishi za mifumo ya kifedha barani Afrika. Machambuzi wa masuala ya uchumi ALI MKIMO anajibu maswali kadhaa kuhusu sekta hii.

Épisodes précédents

  • 237 - Fursa na changamoto ya huduma jumuishi za mifumo ya kifedha kidijitali barani Afrika 
    Wed, 18 Sep 2024
  • 236 - Afrika na usalama wa chakula 
    Wed, 11 Sep 2024
  • 235 - Ndio au hapana, mkutano kati ya Uchina na Afrika 
    Wed, 04 Sep 2024
  • 234 - Athari za kutokuwa na usawa wa kijinsia kwa soko la ajira Afrika 
    Wed, 28 Aug 2024
  • 233 - Tatizo la ajira na changamoto nyingine kwa vijana wa Afrika Mashariki 
    Wed, 21 Aug 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast