Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Gouvernement et ONG
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Nchini Kenya zaidi serikali inaendesha uchunguzi wa chembechembe za DNA, za wanafunzi 21 wa shule ya msingi ya Endatasha baada yao kuteketea kiasi ya kutotambulika, kabla ya miili yao kutolewa kwa familia.
Miili limewaacha wazazi kwenye njia panda wasijue la kufanya, wakati huu maswali yakiendelea kuulizwa je nani wakulaumiwa baada ya mkasa huo wa moto shuleni.
Kufahamu mengi skiza makala haya.
Épisodes précédents
-
285 - Kenya : Watoto wateketea shuleni, je jukumu la nani kumlinda mtoto akiwa shuleni Mon, 16 Sep 2024
-
284 - Kenya: Vikundi vya kina mama vyajitokeza kupinga ukeketaji Tue, 27 Aug 2024
-
283 - Kenya : Jamii za mipakani zataka serikali kuwapa vitambulisho Sat, 24 Aug 2024
-
282 - Kenya : Mawikili watoa mafunzo ya sheria kwa vijana Sat, 17 Aug 2024
-
281 - Tanzania : Human Right Watch lasema Tanzania inawahangaisha raia wa Ngorongoro Tue, 06 Aug 2024
-
280 - Kenya : Haki za wanawake pamoja na kina dada wanaojiuza Sat, 03 Aug 2024
-
279 - Kenya : Haki ya wanahabari kuteleza majukumu yao bila vikwazo Sat, 27 Jul 2024
-
278 - Kenya : Polisi wa Uingereza watuhumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu Tue, 16 Jul 2024
-
277 - Kenya : Wanaume wanapitia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa, ila wamesalia kimya Wed, 10 Jul 2024
-
276 - Sudan Kusini inakabiliwa na hali ya binadamu kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi Sat, 06 Jul 2024
-
275 - Kenya : Haki ya raia kuandamana kufikisha ujumbe kwa serikali Tue, 25 Jun 2024
-
274 - Amnesty International : Adabu ya kifo imeongezeka zaidi duniani Tue, 18 Jun 2024
-
273 - Kenya : Haki za watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanataka kutambuliwa zaidi Mon, 17 Jun 2024
-
272 - Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa Wed, 12 Jun 2024
-
271 - Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali Fri, 31 May 2024
-
270 - Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii Tue, 21 May 2024
-
269 - DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo Sat, 18 May 2024
-
268 - Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa? Thu, 09 May 2024
-
267 - Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023 Thu, 02 May 2024
-
266 - Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu Thu, 25 Apr 2024
-
265 - Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua Wed, 17 Apr 2024
-
264 - Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao Tue, 16 Apr 2024
-
263 - DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini Wed, 10 Apr 2024
-
262 - Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni. Thu, 04 Apr 2024
Afficher plus d'épisodes
5